25 wa muji wa Kiriati-Yearimu, wa Kefira na wa Beroti: mia saba makumi ine na watatu;
wa muji wa Azimaweti: makumi ine na wawili;
wa muji wa Rama na wa Geba: mia sita makumi mbili na mumoja;
wa miji ya Kiriati-Yearimu, Kefira na Beroti: mia saba makumi ine na watatu;
Basi, Waisraeli wakafunga safari, nyuma ya siku ya tatu wakafika katika miji yao. Miji hiyo ilikuwa Gibeoni, Kefira, Beroti na Kiriati-Yearimu.