24 wa muji wa Azimaweti: makumi ine na wawili;
wa muji wa Anatoti: mia moja makumi mbili na wanane;
wa muji wa Kiriati-Yearimu, wa Kefira na wa Beroti: mia saba makumi ine na watatu;
vilevile kutoka Beti-Gilgali, eneo la Geba na Azimaweti, kwa sababu waimbaji walikuwa wamejijengea vijiji kandokando ya Yerusalema.
wa muji wa Beti-Azimaweti: makumi ine na wawili;