21 Watu wa muji wa Betelehemu: mia moja makumi mbili na watatu;
Basi, Rakeli akakufa na kuzikwa kando ya njia inayokwenda Efurata, ni kusema Betelehemu.
wa ukoo wa Gibari: makumi kenda na watano.
wa muji wa Netofa: makumi tano na sita;
‘Ewe Betelehemu, katika inchi ya Yuda, wewe si mudogo kabisa kati ya miji mikubwa ya Yuda, maana ndani yako atatoka mutawala, atakayechunga watu wangu, ndio Waisraeli.’ ”