Ezra 10:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20026 Kisha, Ezra akaondoka mbele ya nyumba ya Mungu, akaenda kwa nyumba ya Yehohanani mwana wa Eliasibu. Kule, Ezra akalala usiku kucha bila kula wala kunywa maji, kwa huzuni aliyokuwa nayo juu ya ukosefu wa imani ya watu waliotoka katika uhamisho. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |