39 Selemia, Natani, Adaya,
Wazao wa Binui: Simei,
Makinadebayi, Sasayi, Sarai,
Nikaita viongozi tisa wakuje kwangu: Eliezeri, Arieli, Semaya, Elnatani, Yaribu, Elnatani, Natani, Zekaria na Mesulamu, pamoja na waalimu wawili, Yoyaribu na Elnatani.