31 Wazao wa Harimu: Eliezeri, Isia, Malkia, Semaya, Simeoni,
hao walipewa muji wa Hebroni katika inchi ya Yuda na mashamba ya malisho kandokando yake.
Wazao wa Pahati-Moabu: Adina, Kelali, Benaya, Maseya, Matania, Besaleli, Binui na Manase.
Benjamina, Maluki na Semaria.
wa muji wa Harimu: mia tatu na makumi mbili;
Sehemu inayofuata pamoja na Munara wa Furu vilijengwa upya na Malkiya, mwana wa Harimu akishirikiana na Hasubu mwana wa Pahati-Moabu.