Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Ezra 10:24 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

24 Kati ya waimbaji kulikuwa: Eliasibu. Walinzi wa milango: Salumu, Telemu na Uri.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Ezra 10:24
3 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Hivyo, wakaondoka katika kambi ya Waaramu na kuwaita walinda milango ya muji na kuwaambia: “Tulikwenda katika kambi ya Waaramu na hatukuweza kumwona wala kumusikia mutu yeyote. Farasi na punda wangali wanafungwa, na mahema yako kama walivyoyaacha.”


Kati ya Walawi kulikuwa: Yozabadi, Simei, Kelaya (aliyejulikana pia kwa jina la Kelita), Petahia, Yuda na Eliezeri.


Kati ya watu wengine wa Israeli kulikuwa: Wazao wa Parosi: Ramia, Izia, Malkia, Miyamini, Eleazari, Malkia na Benaya.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ