Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Ezra 10:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Watu wote waliorudi kutoka katika uhamisho wakakubali mupango huo, kwa hiyo kuhani Ezra akawachagua wanaume kati ya viongozi wa ukoo mbalimbali na kuyaandika majina yao. Kwa siku ya kwanza ya mwezi wa kumi, watu hao wakaanza kazi yao ya uchunguzi wa shauri hilo.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Ezra 10:16
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Hakuna aliyepinga mupango huu, isipokuwa tu Yonatani mwana wa Asaeli na Yazeya mwana wa Tikwa, nao wakaungwa mukono na Mesulamu na Mulawi Sabetayi.


Siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza, walikuwa wamekwisha kumaliza uchunguzi wao juu ya wanaume wote waliokuwa wameoa wanawake wa kigeni.


Kwa wamasikini nilikuwa baba yao; nilifanya bidii kutetea haki za watu nisiowajua.


“Kufuatana na Sheria, hatuwezi kumuhukumu mutu mbele ya kumusikiliza na kujua yale aliyofanya.”


kwamba watu fulani wa ovyo ovyo kati yenu, wamewashawishi watu wa muji wakisema: ‘Twende tuabudu miungu mingine’, ambayo bado hamukujua,


basi mutapeleleza na kufanya uchunguzi na kuuliza kwa uangalifu. Na kama ni kweli kwamba jambo la kuchukiza limetendeka kati yenu,


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ