Ezra 10:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200213 Lakini wakaongeza kusema: “Watu ni wengi na mvua inanyesha sana. Hatuwezi kuendelea kusimama hapa katika kiwanja, na hili si jambo ambalo litamalizika kwa siku moja au mbili! Tumefanya kosa kubwa sana juu ya shauri hili. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |