Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Ezra 1:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Hii ndiyo hesabu yake: bakuli makumi tatu za zahabu, bakuli elfu moja za feza, vyetezo makumi mbili na tisa,

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Ezra 1:9
14 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

wakapeleka vyetezo na mabakuli. Mukubwa wa waaskari walinzi wa mufalme akapeleka mbali kila chombo cha zahabu na kila chombo cha feza.


Walipomaliza kutengeneza nyumba ya Yawe, wakamuletea mufalme na Yoyada zahabu na feza iliyobaki; halafu vyombo kwa ajili ya nyumba ya Yawe vilitengenezwa kwa feza hizo, vyombo hivyo vilikuwa vya kutumika katika kazi ya nyumba ya Yawe, matoleo ya sadaka za kuteketeza kwa moto na mabakuli ya kufukizia ubani, vilevile vyombo vya zahabu na vya feza. Watu waliendelea kutoa sadaka za kuteketezwa kwa moto katika nyumba ya Yawe wakati wote wa Yoyada.


Hiramu akatengeneza vyungu, vipao na mabeseni. Basi Hiramu akamaliza kazi aliyomufanyia mufalme Solomono juu ya nyumba ya Mungu;


Akatengeneza vilevile meza kumi, nazo akaziweka ndani ya chumba cha hekalu. Kisha akatengeneza beseni mia moja za zahabu.


bakuli ndogo za zahabu makumi tatu, bakuli ndogo za feza mia ine na kumi, vyombo vingine elfu moja.


Hivi ndivyo vitu nilivyowapimia: feza toni makumi mbili na mbili, vyombo mia moja vya feza, uzito wake kilo makumi saba, zahabu kilo elfu tatu na mia ine,


mabakuli makumi mbili ya zahabu, uzito wake kilo nane, vyombo viwili vya shaba nzuri iliyongaa yenye bei kama ya zahabu.


Basi, makuhani na Walawi wakatwaa feza, zahabu na vyombo vyote walivyopimiwa, kwa kuvipeleka katika Yerusalema ndani ya nyumba ya Mungu wetu.


Na kwa ajili ya kusukumwa na mama yake, yule binti akamwambia Herode: “Unipe hapa hapa ndani ya sahani kichwa cha Yoane Mubatizaji!”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ