Ezra 1:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20028 Akamupatia Mitiredati, mulinzi wa hazina, vyombo hivyo, naye akavihesabu mbele ya Sesebasari, mutawala wa Yuda. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Vilevile akavirudisha vyombo vya zahabu na feza ambavyo mufalme Nebukadneza alikuwa amevipeleka kutoka katika hekalu kule Yerusalema na kuviweka katika hekalu la Babeli. Vyombo hivyo Kiro akaviondoa toka hekalu la Babeli na kuvipatia Sesebasari ambaye alikuwa amemuchagua akuwe mutawala wa Yuda; akamwamuru akisema: