Ezra 1:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20024 Kila mumoja aliyebaki muzima katika uhamisho akitaka kurudi, wajirani zake wamusaidie kwa kumupa feza, zahabu, mali na nyama, pamoja na matoleo ya mapenzi yake kwa ajili ya nyumba ya Mungu kule Yerusalema. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |