32 Amri ya Esteri ikahakikisha mambo hayo ya Purimu; ikaandikwa katika kitabu.
Mufalme Ahasuero alilipisha kodi kwa watu wa inchi na katika visanga vya bahari.
Kwa hiyo, wakaita siku hizo Purimu, kutokana na neno puri maana yake kura. Kwa sababu ya barua ya Mordekayi na mambo waliyoyaona wenyewe na yale yaliyowapata,