Esteri 9:31 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200231 na kuwaamuru wao na wazao wao washike sikukuu za Purimu kwa wakati wake uliopangwa, kama vile walivyokuwa wanazikumbuka sheria za kufunga wakati wa kuomboleza. Maagizo haya yalitolewa na Mordekayi, Muyuda, pamoja na malkia Esteri. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |