Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Esteri 9:30 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

30 Barua ile iliandikwa kwa Wayuda wote, na mifano ya barua zile kupelekewa katika majimbo yote mia moja makumi mbili na saba ya ufalme wa Ahasuero. Barua ile iliwatakia Wayuda amani na usalama,

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Esteri 9:30
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Sara aliishi miaka mia moja makumi mbili na saba. Hiyo ndiyo iliyokuwa miaka ya maisha ya Sara.


Mufalme Ahasuero alipotawala ufalme wake ulikuwa na majimbo mia moja makumi mbili na saba, toka Uhindi mpaka Etiopia.


Basi, katika siku ya makumi mbili na tatu ya mwezi wa tatu inayoitwa Siwani, Mordekayi akawaita waandishi wote wa mufalme, akawaagiza waandike barua kwa Wayuda na wakubwa, watawala na wakubwa wa majimbo yote mia moja makumi mbili na saba, kuanzia Uhindi mpaka Etiopia. Barua hizo zikaandikwa kwa kila jimbo katika luga yake na sawasawa na maandiko yake, vilevile na kwa Wayuda kwa maandiko yao na luga yao.


Anayejitenga nawe, hakika ataangamia. Anayekukana, utamwangamiza.


Kutokana na kutenda kwa haki, watu watapata amani, utulivu na usalama kwa milele.


Naye Hezekia akamwambia Isaya: Neno la Yawe ulilosema ni zuri. Alisema hivyo maana alifikiri: Kutakuwa amani na salama muda wote wa maisha yangu.


Yawe wa majeshi anasema hivi: Siku za mafungo ya kula chakula ya mwezi wa ine, mwezi wa tano, mwezi wa saba na mwezi wa kumi, zitakuwa nyakati za furaha na shangwe; zitakuwa sikukuu za shangwe kwa watu wa Yuda. Basi, mupende ukweli na amani.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ