Esteri 9:26 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
26 Kwa hiyo, wakaita siku hizo Purimu, kutokana na neno puri maana yake kura. Kwa sababu ya barua ya Mordekayi na mambo waliyoyaona wenyewe na yale yaliyowapata,
Katika mwaka wa kumi na mbili wa utawala wa mufalme Ahasuero, katika mwezi wa kwanza unaoitwa Nisani, wakapiga Purimu, maana yake kura, mbele ya Hamani kusudi ajue mwezi na siku ya kuwaangamiza. Basi kura ikaangukia mwezi wa kumi na mbili unaoitwa Adari.
Katika siku ile, nitamupa Gogi pahali pa kufanyia maziko katika inchi ya Israeli, katika Bonde la Wasafiri, upande wa mashariki wa bahari ya Chumvi. Gogi atazikwa huko pamoja na kundi lake lote la waaskari, nao wasafiri watazuizwa kupita kule. Bonde hilo litaitwa, Bonde la Hamoni-Gogi.