Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Esteri 8:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

13 Mifano ya tangazo hili ambalo lilitolewa kama sheria katika kila jimbo ilisambazwa kwa kila mutu katika kila jimbo, kusudi Wayuda wajitayarishe kulipiza kisasi siku hiyo itakapofika.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Esteri 8:13
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Barua hiyo ilitakiwa iandikwe kwa watu wote katika kila jimbo, kusudi kila mutu ajitayarishe kwa ajili ya siku hiyo.


Kwa amri ya mufalme, wajumbe waliopanda juu ya farasi wa kifalme wenye nguvu wanaokimbia mbio, wakaondoka mbio. Tangazo hili vilevile lilitolewa katika muji mukubwa Susani.


Bwana wetu alisema: “Nitawarudisha waadui kutoka Basani; nitawarudisha kutoka shimo la bahari,


Basi, Mungu hatawapatia haki wale wachaguliwa wake wanaomulilia usiku na muchana? Au atakawia kuwasaidia?


Watu wale wakalalamika hivi kwa sauti kubwa: “Bwana mutakatifu na mwenye ukweli, mpaka wakati gani utaendelea kungojea kuwahukumu wakaaji wa dunia na kuwaazibu kwa sababu ya kuuawa kwetu?”


Hapo Samusoni akamwomba Yawe: “Bwana wangu Yawe, ninakuomba unikumbuke. Unitie nguvu, mara hii moja tu, ee Mungu, kusudi niwalipize kisasi mara moja hii tu Wafilistini ambao waliyaongoa macho yangu mawili.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ