Esteri 7:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20027 Mufalme akasimama kwa hasira, akatoka ndani ya chumba kwenye karamu ya divai na kwenda inje kwenye bustani ya nyumba ya kifalme. Hamani alipoona kwamba mufalme amekusudia kumwazibu, akabaki nyuma kwa kumusihi malkia Esteri ayaponyeshe maisha yake. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |