Esteri 7:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20022 Katika siku ya pili, walipokuwa wanakunywa divai, mufalme akamwuliza tena Esteri: “Sasa, malkia Esteri, unataka nini? Uniambie, nawe utapata. Ombi lako ni nini? Hata kama ni nusu ya ufalme wangu, utapewa.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |