Esteri 6:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20026 Hamani alipoingia ndani, mufalme akamwuliza: “Nimufanyie nini mutu ambaye ningependa sana kumupatia heshima?” Hamani akafikiri ndani ya moyo wake: “Ni nani huyo ambaye mufalme angependa kumupatia sana heshima? Bila shaka ni mimi.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |