Esteri 6:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200211 Basi, Hamani akatwaa nguo zile na kumuvalisha Mordekayi, akamutembeza kwenye kiwanja cha muji akiwa juu ya farasi wa mufalme, naye akitangaza: “Hivi ndivyo anavyotendewa mutu ambaye mufalme amependa kumupa heshima.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |