Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Esteri 6:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Hapo mufalme akamwambia Hamani: “Fanya haraka! Twaa nguo hizi na farasi, umupatie Mordekayi heshima hii, yule Muyuda ambaye anaikaa kwenye mulango wa nyumba ya kifalme. Usiache kumufanyia hata jambo moja kati ya hayo uliyoyataja.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Esteri 6:10
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mujue kwamba maneno yote Yawe aliyosema juu ya jamaa ya Ahabu yametimia. Yawe ameyafanya hayo aliyosema kwa njia ya mutumishi wake Elia.”


Basi, Hamani akatwaa nguo zile na kumuvalisha Mordekayi, akamutembeza kwenye kiwanja cha muji akiwa juu ya farasi wa mufalme, naye akitangaza: “Hivi ndivyo anavyotendewa mutu ambaye mufalme amependa kumupa heshima.”


na mumoja wa washauri wako wa kuheshimika ee mufalme amuvalishe mutu yule nguo hizo za kifalme, na kumwongoza mutu yule akiwa amepanda juu ya farasi wako mpaka kwenye kiwanja cha muji, naye akitangaza: ‘Hivi ndivyo anavyotendewa mutu ambaye mufalme amependa kumupa heshima.’ ”


Mumupende Yawe, enyi watakatifu wake wote. Yawe anawalinda watu waaminifu; lakini anawaazibu kabisa wenye kiburi jinsi wanavyostahili.


Kwa maana kila mutu anayejiinua atashushwa, lakini anayejishusha atainuliwa.”


Na kwa kadiri ulivyojitukuza na kuishi katika raha, kwa kadiri ile ile muuletee mateso na huzuni. Muji ule unajisemesha: ‘Mimi ninaikaa juu ya kiti cha kifalme kama vile malkia; mimi si mujane, wala sitapata huzuni hata kidogo!’


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ