Esteri 6:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200210 Hapo mufalme akamwambia Hamani: “Fanya haraka! Twaa nguo hizi na farasi, umupatie Mordekayi heshima hii, yule Muyuda ambaye anaikaa kwenye mulango wa nyumba ya kifalme. Usiache kumufanyia hata jambo moja kati ya hayo uliyoyataja.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |