5 Mufalme akatoa amri Hamani akuje upesi, kama vile Esteri alivyoomba. Basi, mufalme na Hamani wakaenda kwenye karamu Esteri aliyotayarisha.
Esteri akamujibu: “Ikikupendeza, ewe mufalme, ukuje leo pamoja na Hamani, kwenye karamu ninayotayarisha kwa ajili yako, mufalme.”
Walipokuwa bado wanaongea juu ya hayo, matowashi wa mufalme wakafika kumutwaa Hamani kwenda kwenye karamu ya Esteri.