Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Esteri 5:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Esteri akamujibu: “Ikikupendeza, ewe mufalme, ukuje leo pamoja na Hamani, kwenye karamu ninayotayarisha kwa ajili yako, mufalme.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Esteri 5:4
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi, baba yake akasema: “Uniletee hiyo nyama nikule mawindo yako mwana wangu, nikubariki.” Kwa hiyo Yakobo akamupelekea chakula, naye akakula; akamupelekea divai vilevile, akakunywa.


Akatoa agizo hilohilo kwa mutumishi wa kundi la pili na la tatu na wengine wote, akisema: “Mutamwambia Esau maneno hayohayo mutakapokutana naye.


Wakati uleule, malkia Vashiti naye akawaandalia wanawake karamu ndani ya nyumba ya kifalme ya Ahasuero.


Kwa amri ya mufalme, tangazo hili lilitolewa katika muji mukubwa wa Susani, nao wajumbe wakalitangaza katika majimbo yote. Mufalme na Hamani wakaikaa chini kwa kunywa wakati watu katika muji wa Susani wanafazaika.


Hapo mufalme akauliza: “Unataka nini Esteri? Uniambie unachotaka, nawe utapata – hata kama ni nusu ya ufalme wangu.”


Mufalme akatoa amri Hamani akuje upesi, kama vile Esteri alivyoomba. Basi, mufalme na Hamani wakaenda kwenye karamu Esteri aliyotayarisha.


Kama nimepata kukubaliwa mbele yako, ewe mufalme, na ikikupendeza kukubali ombi langu, basi, ninaomba wewe na Hamani mukuje kesho kwenye karamu nyingine nitakayowaandalia. Wakati huo nitakujulisha ombi langu.”


Mutu muzuri anakopesha bila faida; anafanya shuguli zake kwa kutumia haki.


Mupumbafu anaonyesha hasira yake wazi, lakini mwenye hekima anaizuia na kuituliza.


Wandugu zangu, musikuwe kama watoto kwa kufikiri: lakini katika mambo mabaya, iwatokee kutenda kama watoto wachanga. Inafaa mafikiri yenu yakuwe kama ya watu wazima.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ