Esteri 3:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20027 Katika mwaka wa kumi na mbili wa utawala wa mufalme Ahasuero, katika mwezi wa kwanza unaoitwa Nisani, wakapiga Purimu, maana yake kura, mbele ya Hamani kusudi ajue mwezi na siku ya kuwaangamiza. Basi kura ikaangukia mwezi wa kumi na mbili unaoitwa Adari. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |