Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Esteri 3:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Hamani akawaka hasira alipojua kwamba Mordekayi hainami wala kupiga magoti mbele yake.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Esteri 3:5
13 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini Vashiti akakataa kufika kwa amri mufalme aliyotoa kwa njia ya matowashi. Kwa hiyo, mufalme akakasirika sana na hasira yake ikawaka.


Mufalme akaamuru wakubwa wote wa serikali yake wamutii Hamani kwa kuinama na kupiga magoti mbele yake. Lakini Mordekayi hakuinama wala kupiga magoti mbele yake.


Kila siku walimushauria aache tabia hiyo, lakini Mordekayi hakukubaliana nao. Alikataa kufanya hivyo akisema kwamba yeye ni Muyuda na kwa hiyo hawezi kuinama mbele ya Hamani. Basi, wakamujulisha Hamani kusudi waone kama ataivumilia tabia ya Mordekayi.


Hamani akatoka kule kwenye karamu mwenye furaha tele na moyo mukunjufu. Lakini alipomwona Mordekayi kwenye mulango wa nyumba ya kifalme, hasimami wala hamupi heshima, Hamani akawaka hasira.


Kweli mahangaiko yanamwua mupumbafu, na wivu unamwangamiza mujinga.


Mwovu anamufanyia mutu wa haki shauri baya, na kumusagia meno kwa chuki.


Ujinga wa mupumbafu unajulikana mara moja, lakini mwerevu anazarau matusi.


Mutu wa hasira kali anapaswa kupata azabu; ukimwachilia mara moja itakuomba kumwachilia tena.


Mwenye kiburi na majivuno jina lake ni “Mazarau”; anatenda kwa kujivuna tu.


wapumbafu wanapewa kazi za madaraka ya juu, na watajiri wanakamata nafasi za mwisho.


Kwa hiyo, mufalme Nebukadneza akawaka hasira, sura yake ikabadilika kwa chuki juu ya Sadiraki, Mesaki na Abedenego. Akaamuru kwamba moto wa furu uongezwe mara saba kuliko kawaida yake.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ