Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Esteri 2:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Amri ya mufalme ilipotangazwa, wabinti wengi wakapelekwa Susani, muji mukubwa, wakawekwa chini ya ulinzi wa Hegayi. Esteri naye, akapelekwa kwenye nyumba ya kifalme, akawekwa chini ya uangalizi wa Hegayi, yule mwangalizi wa wanawake.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Esteri 2:8
3 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wakati ukafika wa Esteri kwenda kwa mufalme. Huyo, binti wa marehemu Abihaili, binamu ya Mordekayi, na ambaye alilelewa na Mordekayi, hakuomba kitu chochote zaidi ya kile alichopangiwa na Hegayi, towashi mwangalizi wa wanawake wa mufalme. Esteri akapata kukubaliwa mbele ya kila mutu aliyemwona.


Mufalme achague wakubwa katika kila jimbo la utawala wake, na kuwaagiza wawalete wabinti wote wazuri ambao ni mabikira kwenye nyumba ya wanawake hapa Susani, muji mukubwa. Halafu wawekwe chini ya uangalizi wa Hegayi, towashi mwangalizi wa wanawake wako; na hapo wapewe mafuta na vifaa vingine kusudi wajipambe zaidi.


Katika maono haya, nilijikuta niko Susani, muji mukubwa wa jimbo la Elamu. Nilikuwa nimesimama kando ya muto Ulayi.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ