Basi, ikikupendeza, ewe mufalme, toa amri kwamba Vashiti asikuje tena mbele yako. Amri hiyo iandikwe katika sheria za Persia na Media, kusudi isiweze kubadilishwa. Kisha, cheo chake cha umalkia, kipewe kwa mwanamuke mwingine anayekuwa bora zaidi kuliko yeye.
Basi, akapeleka barua kwa kila jimbo kwa luga na maandiko yanayoeleweka katika jimbo: kwamba kila mwanaume akuwe bwana wa nyumba yake, na kuitangaza habari hii kwa luga yake.