Nyuma ya mambo yale, hasira yake ilipokwisha kutulia, mufalme Ahasuero akamukumbuka Vashiti, akakuwa anafikiri juu ya ugumu wake na hatua iliyokamatwa juu yake.
Hapo watu wa muji huo watamupiga mutoto huyo mawe mpaka akufe. Ndivyo mutakavyokomesha ubaya huo kati yenu. Kila mutu katika Israeli atasikia tukio hilo na kuogopa.