Esteri 1:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20022 Kiti chake cha kifalme kilikuwa katika muji mukubwa Susani. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Mufalme achague wakubwa katika kila jimbo la utawala wake, na kuwaagiza wawalete wabinti wote wazuri ambao ni mabikira kwenye nyumba ya wanawake hapa Susani, muji mukubwa. Halafu wawekwe chini ya uangalizi wa Hegayi, towashi mwangalizi wa wanawake wako; na hapo wapewe mafuta na vifaa vingine kusudi wajipambe zaidi.