Danieli 9:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20022 mimi Danieli nilikuwa nikisoma kwa uangalifu vitabu vitakatifu, na humo nikaelewa maana ya jambo lile Yawe alilomufahamisha nabii Yeremia juu ya ile miaka makumi saba, muda ambao utahusika na kuharibiwa kwa Yerusalema. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |