Danieli 9:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200218 Tega sikio, ee Mungu wangu; angalia uone taabu tunazokuwa nazo na jinsi huo muji unaoitwa kwa jina lako unavyotaabika. Tunakutolea maombi yetu si kwa sababu tumetenda haki, lakini kwa sababu wewe una huruma nyingi. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |