Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Danieli 9:17 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

17 Kwa hiyo, ee Mungu, usikilize malalamiko yangu na maombi yangu mimi mutumishi wako. Kwa ajili ya heshima yako, ulionee tena hekalu lako lililoharibika huruma.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Danieli 9:17
20 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Hata hivyo, ee Yawe, Mungu wangu, unigeukie mimi mutumishi wako ninapokuomba na kukusihi. Usikilize malalamiko na maombi ambayo mimi mutumishi wako ninaomba leo.


Usikilize kwa uangalifu maombi yangu, na uniangalie mimi mutumishi wako, ninapokuomba kwa ajili ya watumishi wako, watu wa Israeli, usiku na muchana. Ninaungama zambi za watu wa Israeli, tulizofanya mbele yako. Mimi pamoja na watu wa jamaa yangu tumefanya zambi.


Uniangazie uso wako kwa wema, unifundishe masharti yako.


Mutoe sadaka zinazokuwa sawa, na kumutumainia Yawe.


Kwa mukubwa wa waimbaji. Kwa vyombo vyenye nyuzi. Zaburi. Wimbo.


Utuonee huruma, ee Mungu, utubariki, utuelekezee uso wako kwa wema,


Pita juu ya mabomoko haya ya tangu zamani! Waadui wameharibu kila kitu katika hekalu.


Kwa mukubwa wa waimbaji. Kwa mutindo wa wimbo. Zaburi ya Asafu.


Hatutakuacha tena; utujalie uzima, nasi tutakusifu.


mbele ya kabila la Efuraimu, la Benjamina na la Manase. Uonyeshe nguvu yako, ukuje kutuokoa!


Utengeneze tena maisha yetu, ee Mungu; utuangalie kwa wema, nasi tutaokoka.


Umetufanya jambo la mazarau kwa jirani zetu; waadui zetu wanatuchekelea.


Ninafanya hivyo kwa ajili yangu mwenyewe. Kwa nini jina langu lizarauliwe? Siwezi kumupatia mwingine utukufu wangu!


Wewe umenisikia nikikulilia: Usiache kusikiliza maombi yangu ya musaada.


Maana mulima Sayuni umeachwa utupu, mbweha wanazungukazunguka humo.


Ee Yawe, utusikie; utusamehe ee Yawe. Ee Yawe, kwa ajili ya heshima yako utusikie na utende, wala usikawie, ee Mungu wangu, kwa ajili ya muji huu na watu hawa wanaoitwa kwa jina lako!


Mpaka sasa hamujaomba kitu kwa jina langu. Muombe, nanyi mutapewa, na furaha yenu itakuwa kubwa kabisa.


Maana yeye ndiye anayetimiza ahadi zote za Mungu. Vilevile ni kwa njia ya Yesu Kristo tunasema “Amina” kwa kumutukuza Mungu.


Muji ule hauna lazima ya mwangaza wa jua, wala wa mwezi, kwa sababu utukufu wa Mungu unauangazia na Mwana-Kondoo ndiye taa yake.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ