Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Danieli 8:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Nilipokuwa ninawaza juu ya jambo hili, niliona beberu mumoja kutoka upande wa magaribi akikuja mbio bila kugusa chini. Kati ya macho yake alikuwa na pembe moja kubwa sana.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Danieli 8:5
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kisha kutatokea mufalme hodari atakayetawala eneo kubwa na kufanya atakavyopenda.


Kichwa cha sanamu hiyo kilikuwa cha zahabu safi, kifua chake na mikono yake vilikuwa vya feza na tumbo lake na mapaja yake vilikuwa vya shaba.


Nyuma yako kutafuata ufalme mwingine, lakini ufalme huo utakuwa zaifu. Huu utafuatwa na ufalme wa tatu unaofananishwa na shaba; huo utaitawala dunia yote.


Nyuma ya mambo hayo, nikaona nyama mwingine. Huyu alikuwa kama chui mwenye mabawa mane ya ndege juu ya mugongo wake. Alikuwa na vichwa vine naye alipewa uwezo wa kutawala.


Yule beberu ni mufalme wa Ugriki. Ile pembe kubwa katikati ya macho yake ni mufalme wa kwanza.


Alimwendea yule kondoo dume mwenye pembe mbili niliyemwona akiwa amesimama kando ya muto, akamushambulia kwa nguvu zake zote.


Kwa hiyo yule beberu alijitukuza sana. Lakini alipofikia kilele cha nguvu zake, ile pembe yake kubwa ikavunjika. Pahali pake kukaota pembe ine zilizoonekana waziwazi, zikiwa zimeelekea pande ine za dunia.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ