Danieli 6:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
9 Hivyo, ee mufalme Dario, utoe amri hiyo na kuitia sahihi yako kusudi isibadilishwe. Nayo itakuwa sheria ya Wamedi na Wapersi, sheria ambayo haitavunjika.
Basi, ikikupendeza, ewe mufalme, toa amri kwamba Vashiti asikuje tena mbele yako. Amri hiyo iandikwe katika sheria za Persia na Media, kusudi isiweze kubadilishwa. Kisha, cheo chake cha umalkia, kipewe kwa mwanamuke mwingine anayekuwa bora zaidi kuliko yeye.