Danieli 6:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20025 Wale wakubwa pamoja na maliwali wakatafuta kisingizio cha kumushitaki Danieli juu ya mambo ya ufalme, lakini hawakuweza kupata sababu ya kumushitaki, wala kosa lolote, maana Danieli alikuwa mwaminifu. Hakupatikana na kosa, wala ubaya wowote. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |