Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Danieli 6:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Wale wakubwa pamoja na maliwali wakatafuta kisingizio cha kumushitaki Danieli juu ya mambo ya ufalme, lakini hawakuweza kupata sababu ya kumushitaki, wala kosa lolote, maana Danieli alikuwa mwaminifu. Hakupatikana na kosa, wala ubaya wowote.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Danieli 6:5
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi, Hamani akamwambia mufalme: “Kuna watu wa taifa moja wanaokuwa kila nafasi katika utawala wako, nao wako katika kila jimbo. Watu hao wana sheria zinazokuwa tofauti kabisa na za watu wengine. Vilevile, wao hawazitii sheria zako, kwa hiyo haikufaidii kwa kitu chochote kuwavumilia.


Mutu mwovu anamuvizia mutu wa haki, na kujaribu kumwua;


Mushugulike na kuleta ustawi katika muji ule ambamo nimewahamishia. Muuombee muji huo kwa Yawe, maana ukistawi ninyi vilevile mutastawi.


Daudi alipomaliza kusema, Saulo akasema: “Hiyo ni sauti yako mwana wangu Daudi?” Saulo akalia kwa sauti.


Wakubwa wa waaskari wa Wafilistini waliuliza: “Waebrania hawa wanafanya nini hapa?” Akisi akawajibu wale wakubwa wa Wafilistini: “Huyu ni Daudi, mutumishi wa Saulo mufalme wa Israeli; naye amekuwa nami kwa miaka fulani. Na tangu alipokimbilia kwangu, sijamupata na kosa lolote.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ