Danieli 6:27 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200227 Ninatoa amri katika ufalme wangu kwamba watu wote wanapaswa kumwogopa na kumuheshimu Mungu wa Danieli. Yeye ni Mungu Mwenye Uzima, anayeishi milele; ufalme wake hauwezi kuangamizwa hata kidogo, utawala wake hauna mwisho. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |