Danieli 6:24 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200224 Kwa hiyo mufalme akafurahi sana; akaamuru kwamba wamwondoe Danieli toka ndani ya pango. Basi wakamwondoa, naye hakuonekana na alama hata kidogo ya kidonda, kwa sababu alimutegemea Mungu wake. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |