Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Danieli 5:26 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

26 Na hii ndiyo maana yake. MENE: Mungu amehesabu siku za ufalme wako na kuukomesha.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Danieli 5:26
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mutu akikufa anaweza kuishi tena? Siku zangu zote za kazi ningekungoja mpaka wakati wa kufunguliwa ufike.


Ninawachochea Wamedi juu yao; watu ambao hawajali feza wala hawavutwi na zahabu.


Mataifa yote yatamutumikia yeye, pamoja na mwana wake na mujukuu wake mpaka wakati inchi yake itakapoanguka. Kisha mataifa mengi na wafalme wengi wakubwa watamufanya kuwa mutumwa wao.


Maandiko yenyewe ni: MENE, MENE, TEKELI, PERESI.


mimi Danieli nilikuwa nikisoma kwa uangalifu vitabu vitakatifu, na humo nikaelewa maana ya jambo lile Yawe alilomufahamisha nabii Yeremia juu ya ile miaka makumi saba, muda ambao utahusika na kuharibiwa kwa Yerusalema.


Ni vile Bwana anavyosema, yeye aliyejulisha mambo haya tangu zamani za kale.’ ”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ