24 Basi, Mungu ametuma mukono uandike maandiko haya.
Maandiko yenyewe ni: MENE, MENE, TEKELI, PERESI.
Saa ileile, vidole vya mukono wa mwanadamu vikatokea na kuandika kwenye lipu ya ukuta wa nyumba ya kifalme uliopakaliwa chokaa pahali palipoangaziwa vizuri, mbele ya kinara cha taa. Mufalme aliuona mukono ule ukiandika.