Danieli 5:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200212 kwa sababu ana roho njema, maarifa, ujuzi wa kufasiria ndoto, kufumbua mafumbo na kutatua matatizo. Jina la mutu huyo ni Danieli ambaye baba yako alimwita Beltesaza. Basi wamwite, naye atakuelezea maana ya maandiko haya. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |