Danieli 4:30 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200230 Mara moja jambo hilo juu ya mufalme Nebukadneza likatimizwa. Alifukuzwa mbali na wanadamu, akakuwa anakula majani kama ngombe. Alilowanishwa na umande wa mbinguni, na nywele zake zikakuwa ndefu kama manyoya ya tai, na kucha zake kama za ndege. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |