Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Danieli 4:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

21 Hii basi, bwana wangu, ndiyo maana ya ndoto yako, kadiri ya uamuzi wa Mungu Mukubwa juu yako:

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Danieli 4:21
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Humo, ndege wanajenga chicha zao, korongo wanafanya makao yao katika misunobari.


Kweli, nitalipanda juu ya mulima murefu wa inchi ya Waisraeli kusudi lichanue na kuzaa matunda. Litakuwa mwerezi muzuri, na ndege wa aina zote watakaa chini yake vilevile watajenga chicha zao katika matawi yake.


Ndege wote waliweka chicha katika matawi yake, nyama wa pori walizalia chini yake, mataifa yote makubwa yalikaa chini ya kivuli chake.


Amekupa mamlaka juu ya wanadamu wote, nyama wa pori na ndege wote, popote kule wanapokuwa. Wewe ndiwe kile kichwa cha zahabu!


Akalalamika kwa sauti akisema: Mukate muti huu na kuyakatakata matawi yake. Muangushe majani yake na kuyatawanya matunda yake. Nyama wakimbie toka chini yake na ndege kutoka matawi yake.


Kisha ukaona tena, ee mufalme, Mulinzi mutakatifu akishuka kutoka mbinguni, akaamuru: Mukate muti huu, muuangamize. Lakini muache kisiki chake na mizizi yake katika udongo kwenye majani mabichi ya mashamba, kikiwa kimefungwa pale kwa munyororo wa chuma na shaba. Muache kilowanishwe na umande wa mbinguni; muache kiishi pamoja na nyama wa pori kwa miaka saba.


Wewe utafukuzwa mbali na wanadamu. Utaishi pamoja na nyama wa pori, utakula majani kama ngombe; utalowana na umande wa mbinguni. Utakaa katika hali hiyo kwa miaka saba, na kwa mwisho utatambua kwamba Mungu Mukubwa ndiye anayetawala juu ya ufalme wa wanadamu naye anamupa ufalme ule mutu yeyote anayemutaka.


Unafanana na mbegu ya haradali mutu mumoja aliyotwaa na kuipanda katika shamba lake. Ikaota na kuwa muti mukubwa, nao ndege wakakuja kujenga chicha zao katikati ya matawi yake.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ