Danieli 4:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200212 Lakini muache kisiki chake na mizizi yake ndani ya udongo, kwenye majani mabichi ndani ya shamba kikiwa kimefungwa pale kwa munyororo wa chuma na shaba. Muache kilowanishwe na umande wa mbinguni; muache kiishi pamoja na nyama wa pori na kula majani katika mbuga. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |