Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Danieli 4:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Lakini muache kisiki chake na mizizi yake ndani ya udongo, kwenye majani mabichi ndani ya shamba kikiwa kimefungwa pale kwa munyororo wa chuma na shaba. Muache kilowanishwe na umande wa mbinguni; muache kiishi pamoja na nyama wa pori na kula majani katika mbuga.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Danieli 4:12
13 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Anaondolea viongozi wa watu ujuzi wao, anawafanya watangetange katika jangwa kusikokuwa njia,


Muti ukikatwa, kuna tumaini la kuota, unaweza kuchipuka tena.


lakini kwa harufu tu ya maji utachipuka, utatoa matawi kama chipukizi.


Walimunasa yule ambaye maisha yetu yalimutegemea, yule mufalme aliyechaguliwa na Yawe yule ambaye tulisema juu yake: Chini ya ulinzi wake tutaishi kati ya mataifa.


Kweli, nitalipanda juu ya mulima murefu wa inchi ya Waisraeli kusudi lichanue na kuzaa matunda. Litakuwa mwerezi muzuri, na ndege wa aina zote watakaa chini yake vilevile watajenga chicha zao katika matawi yake.


Hiyo nayo ilishuka kule katika kuzimu pamoja nao, ikajiunga na wale waliofungamana nao na ambao waliikaa chini ya kivuli chake.


Hii ni hukumu iliyotangazwa na walinzi; ni uamuzi wa wanaokuwa watakatifu, kusudi wanadamu wote kila pahali wapate kutambua kwamba Mungu Mukubwa ana mamlaka juu ya falme zote za wanadamu; yeye anamupatia ufalme mutu yeyote anayemupenda, anamufanya kuwa mufalme hata mutu muzaifu wa mwisho.


Mbegu hii ni ndogo sana kuliko mbegu zote, lakini inapokwisha kuota, inakuwa kubwa zaidi kuliko mimea yote, hata ndege wanakuja na kujenga chicha zao katikati ya matawi yake.”


“Lakini hakuna mutu anayejua siku ile au saa, hata wamalaika wanaokuwa mbinguni, hata Mwana; isipokuwa Baba peke yake tu.


Lakini ikiisha kupandwa, inaota na kuwa kubwa zaidi kuliko mimea yote. Inatoa matawi makubwa hata ndege wanaweza kujenga chicha zao juu yake, kwenye kivuli chake.”


Unafanana na mbegu ya haradali mutu mumoja aliyotwaa na kuipanda katika shamba lake. Ikaota na kuwa muti mukubwa, nao ndege wakakuja kujenga chicha zao katikati ya matawi yake.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ