Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Danieli 3:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

21 Basi, vijana hao wakafungwa wakiwa wamevaa makoti yao, kanzu zao, kofia na nguo zao zingine, wakatupwa katikati ya ile furu la moto mukali.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Danieli 3:21
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Akamutwaa Yosefu na kumutia katika kifungo, pahali wafungwa wa mufalme walipokuwa. Lakini hata mule katika kifungo,


Kwa sababu jambo hilo litakalowapata, watu wote waliohamishiwa Babeli kutoka Yuda, watatumia mufano huu kwa kutoa laana: Yawe akufanye kama Zedekia na Ahabu, ambao mufalme wa Babeli aliwachoma katika moto.


Akaamuru watu fulani wenye nguvu kabisa kati ya waaskari wake wawafunge Sadiraki, Mesaki na Abedenego na kuwatupa katika ile furu ya moto mukali.


Maliwali, wasimamizi, wakubwa wa majimbo na washauri wa mufalme, wote wakakusanyika pamoja, wakaona kwamba ule moto haukuweza kuwaunguza hao watatu. Nywele zao hazikuungua, nguo zao hazikuungua wala hawakuwa na harufu yoyote ya moto.


Na yeyote ambaye hatainama chini na kuiabudu, atatupwa mara moja katika furu la moto mukali.


Nao watawatupa ndani ya furu la moto, na mule watalia na kusaga meno.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ