Danieli 3:19 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200219 Kwa hiyo, mufalme Nebukadneza akawaka hasira, sura yake ikabadilika kwa chuki juu ya Sadiraki, Mesaki na Abedenego. Akaamuru kwamba moto wa furu uongezwe mara saba kuliko kawaida yake. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |