Danieli 2:43 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200243 Hii ina maana kwamba watawala wa ufalme huo watachanganyikana kwa kuoana na watu wasiokuwa wa taifa lao, lakini hawatafikia kuchanganyikana kama vile chuma kisivyoweza kuchanganyikana na udongo wa mufinyanzi. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |