36 Hiyo ndiyo ndoto yako, ee mufalme. Na sasa tutakupa maana yake.
Yosefu akamwambia yule mutumishi: “Tafsiri ya ndoto yako ni hii: yale matawi matatu ni siku tatu.
Yosefu akamwambia: “Tafsiri ya ndoto yako ni hii: vile vitunga tatu ni siku tatu.
Katika ndoto yako, ee mufalme, uliona sanamu kubwa, yenye nguvu na iliyoangaa sana, ikisimama mbele yako. Sanamu hiyo ilikuwa ya kutisha sana.