Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Danieli 2:31 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

31 Katika ndoto yako, ee mufalme, uliona sanamu kubwa, yenye nguvu na iliyoangaa sana, ikisimama mbele yako. Sanamu hiyo ilikuwa ya kutisha sana.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Danieli 2:31
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yawe anasema hivi: Nitauazibu ulimwengu kwa uovu wake, waovu kwa sababu ya makosa yao. Nitakikomesha kiburi cha wenye majivuno, na kuporomosha mazarau ya watu wakali.


basi nitakuletea watu wageni, mataifa ya hatari kuliko yote. Wataharibu utukufu wa hekima yako na kuchafua uzuri wako.


Hiyo ndiyo ndoto yako, ee mufalme. Na sasa tutakupa maana yake.


Wewe, ee mufalme, mufalme wa wafalme! Mungu amekupa ufalme, uwezo, nguvu na utukufu!


Mufalme Nebukadneza alitengeneza sanamu ya zahabu, yenye urefu wa metre makumi mbili na nane na upana wa metre tatu. Akaisimamisha katika bonde la Dura katika jimbo la Babeli.


Wao ni watu wa kuchukiza na kutisha; wao wanajiamulia sheria wenyewe na kujipatia mamlaka.


Shetani akamupeleka tena mpaka juu ya mulima murefu, akamwonyesha falme zote za dunia na utajiri wao.


Kisha Shetani akamupeleka kwenye nafasi inayoinuka juu sana. Akamwonyesha mara moja falme zote za dunia,


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ