Lakini, Danieli akasema na Arioki kwa uangalifu na hekima. Arioki alikuwa ni mukubwa wa waaskari walinzi wa mufalme ambaye alipewa amri ya kuwaua wenye hekima wa Babeli.
Kwa vile amri ya mufalme ilikuwa kali, ule moto ulikuwa umewashwa na kuwa mukali sana, hata ndimi za moto zikawateketeza wale watu waliowapeleka Sadiraki, Mesaki na Abedenego.