Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Danieli 2:15 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

15 Danieli akamwuliza: Kwa nini amri ya mufalme ni kali hivyo? Arioki akamwelezea Danieli maneno yote.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Danieli 2:15
4 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini, Danieli akasema na Arioki kwa uangalifu na hekima. Arioki alikuwa ni mukubwa wa waaskari walinzi wa mufalme ambaye alipewa amri ya kuwaua wenye hekima wa Babeli.


Halafu Danieli alimwendea mufalme na kumwomba amupatie muda kusudi apate kumujulisha mufalme maana ya ndoto yake.


Kwa vile amri ya mufalme ilikuwa kali, ule moto ulikuwa umewashwa na kuwa mukali sana, hata ndimi za moto zikawateketeza wale watu waliowapeleka Sadiraki, Mesaki na Abedenego.


Yuda alipokwisha kukamata kile kipande cha mukate, Shetani akamwingilia. Basi Yesu akamwambia: “Unayotaka kufanya, uyafanye upesi!”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ